[LYRICS] CHRIS MWAHANGILA – Moyo Furahi

“Moyo Furahi Lyrics BY CHRIS MWAHANGILA”

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Peleka sifa zako kwa bwana

Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingekuwa hapa tulipo
Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingekuwa hii tulivyo
Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingepata haya mazuri

ALSO READ:  [LYRICS] Frankie Valli And The Four Seasons – Pity

Tuko hivi tulivyo
Kwa mkono wa Mungu
Tuko hivi tulivyo
Kwa msaada wa Mungu
Tuko hapa tulipo
Kwa mkono wa Mungu

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Peleka sifa zako kwa bwana

Ooh haikuwa rahisi
Kupita katikati yao
Ooh haikuwa rahisi
Kushinda yale majaribu
Ooh haikuwa rahisi
Kufaulu ile mitihani

ALSO READ:  LYRICS: Danicberry - Change

Kumbe Mungu yeye ni ushindi wangu
Tena Mungu yeye mtetezi wangu
Kumbe Mungu yeye ni ushindi wangu
Tena Mungu yeye mtetezi wangu

Amefanya njia mahali pasipopitika
Farasi na mpanda farasi wote wameangushwa

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Peleka sifa zako kwa bwana

ALSO READ:  [LYRICS] Nandy – Leo Leo Ft. Koffi Olomide

You cannot copy but rather type the content of this page